• Home
  • CONTACT US

karibuni....

Blogger templates

Popular Posts

  • MWANAMKE ACHOMWA MOTO AKIWA UCHI KWA TUHUMA ZA UCHAWI....
    Mother, 20, Accused of Being a ‘Witch’ Burned Alive naked | uchi uchi mbele za watu A young mother was tossed screaming on to a pyre o...
  • HISTORIA FUPI YA FREEMASON NA ALAMA ZAKE.....
      ontradicted by the request of stakeholders in this network have decided to prepare this article freemason .......   in...
  • TAZAMA PICHA ZA MASTAA WA KIKE WA HAPA BONGO....
    IRINE UWOYA - ACTRESS WEMA SEPETU - ACTRESS & MODEL ELIZABETH MAIKO (LULU) - ACTRESS JACQUELINE PATRICK - MODEL ...
  • ANGELINA JOLIE AONGOZA KWENYE ORODHA YA WAIGIZAJI WAKIKE WANAO LIPWA FEDHA NYINGI HOLLWOOD
    Mwigizaji mkongwe, Angelina Jolie ametajwa kama ndiye mwigizaji wa kike anayelipwa zaidi duniani licha ya mwanadada huyu kutokutok...
  • INASEMEKANA UCHAFU HUU UMETOKEA MAENEO YA MBAGALA ZAKHEM,BAADA YA DADA HUYU KULEWA BIA ZA OFA!!!
  • LEO KATIKA HISTORIA: LUCKY DUBE ALIZALIWA ERMELO, TRANSVAAL SASA MPUMALANGA
    Agosti 3, 1964 Lucky Philip Dube, mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini katika miondoko ya REGGAE alizaliwa katika kitongoj...
  • NYOTA WA PRISON BREAK MICHAEL SCOFIELD AJITANGAZA KUWA NI SHOGA:
    Star wa "Prison Break",  Wentworth Miller  a.k.a Michael Scofield, amejitangaza kuwa yeye ni "Gay" (shoga), katika ...
  • ABAKWA KIKATILI,NA KUWEKWA MIWA SEHEMU ZA SIRI.INATISHA
    Vanusia Silva Pereila mda...
  • FELLAINI ATAMBULISHWA RASMI MAN UNITED
    ...
  • DUHH HEBU ONA MAAJABU YA DUNIA,WATU WANAMKAMATA CHATU KAMA UTANI

Blogger news


Blogroll

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Categories

  • mrindoko (6)

My Blog List

  • MICHUZI BLOG
    3 hours ago
  • PAMOJA
    2 days ago
  • MPEKUZI HURU
    2 years ago
  • LEWIS MBONDE BLOG
    3 years ago
  • ADELA
    6 years ago
  • Thebrax
    9 years ago
  • Lady Jay Dee

Total Pageviews

franklin z.franklin. Powered by Blogger.

popular posts

  • HUYU NDO DASS MNYAMA,MSANII ANAECHIPUKIA KUTOKA PANDE ZA BUNJU
  • MWANAMKE ALIYEONGOZA UGAIDI KENYA POLISI WAKUSANYA UNDERWEAR ZAKE MOMBASA KWA USHAIDI
      British anti-terror officers yesterday told a court how a colourful selection of sexy underwear was found at one of the ‘...
  • HONGERA SANA MY UNCLE "KING INNOCENT" KWA KUTIMIZA MIAKA MIWILI,MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU.....
    http://klinmedia.blogspot.com king innocent akifanya yake...birthday boy
  • PICHA ZA HALI YA HEWA ILIVYOCHAFUKA CHUO CHA TEKU MKOANI MBEYA
      Wanafunzi wa Chuo kikuu cha  TEKU wakiwa wanajikisanya kusikia uongozi wa chuo uatoa Tamko gani, huku wakipiga kelele...
  • INASEMEKANA UCHAFU HUU UMETOKEA MAENEO YA MBAGALA ZAKHEM,BAADA YA DADA HUYU KULEWA BIA ZA OFA!!!
  • BINTI ALIYEBAKWA ALAZIMISHWA KUOLEWA NA MTOTO WA ZEE LILILOMBAKA...
    Mahali lilipotokea tukio hilo. Binti wa India mwenye umri wa miaka sita ambaye alifungiwa kwenye chumba na kubakwa analazimishwa...
  • ANGELINA JOLIE AONGOZA KWENYE ORODHA YA WAIGIZAJI WAKIKE WANAO LIPWA FEDHA NYINGI HOLLWOOD
    Mwigizaji mkongwe, Angelina Jolie ametajwa kama ndiye mwigizaji wa kike anayelipwa zaidi duniani licha ya mwanadada huyu kutokutok...
  • Fahamu faida za matunda haya kwa ubora wa afya yako.
    Kuna faida nyingi za kula matunda licha ya kupenda ladha tamu za   matunda tunayokula. Matunda yana virutubisho vingi ikiwa vi...
  • NGONO ZEMBE SEHEMU ZA KAZI-WANAWAKE HATARINI KUPATA MAGONJWA
    Kwa miaka mitatu iliyopita, Rehema Nduguru (50) anayeishi Mkoa wa Njombe alikuwa katika mazingira hatarishi ya kupata magonjwa ya ngono ...
  • Chikawe afichua siri nzito muswada Katiba mpya
       Ataja vifungu sita vilichomekwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe Serikali imekiri kuwa vifungu sita katika m...

Blog Archive

SearchThisSite

fb like box

traffics


counter

Your ads

Follow this blog

Saturday, 20 July 2013

Waziri Chikawe azindua Kitabu kiitwacho “Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania”

Posted on 07:55 by Unknown

DIGITAL CAMERAWaziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akiongea na viongozi mbalimbali pamoja na  waandishi wa habari leo jijijni Dar es salaam alipokuwa akizindua Kitabu kiitwacho Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Luteni Kanali Lidwino Mgumba. 2Waziri wa Sheria na Katiba Mh. Mthiasi Chikawe (kulia) akifuatilia ufanafanuzi wa kitabu cha “Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania” kilichoandikwa na Luteni Kanali Lidwino Mgumba. Pembeni mwake ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt.Emmanuel Nchimbi. 3Miongoni mwa viongozi wa Serikali walioshirki uzinduzi wa kitabu cha “Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania” kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Luteni Kanali Lidwino Mgumba leo jijini Dar es salaam. 4Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akionesha kitabu alichokizuindua leo jijijni Dar es salaam cha Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Luteni Kanali Lidwino Mgumba.
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)
Copyright © karibuni.... | Powered by Blogger
Design by Fabthemes | Blogger Template by NewBloggerThemes.com