• Home
  • CONTACT US

karibuni....

Blogger templates

Popular Posts

  • NDOA YA ANGELINE JOLIE NA BRAD PITT IPO KARIBU
    mnamo mwaka 2006  wapenzi au ile couple maarufu pande za hollywood a.k.a kwa obama angeline jolie na brad pitt(brangeline) walitangaza k...
  • JACKLINE WOLPER AKIRI AFYA YAKE INACHUNGULIA MAUTI MUDA WOWOTE
    STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameeleza kuwa, tatizo alilonalo la presha ya kushuka huenda siku moja likawa chanzo cha...
  • MWILI WA BIBI HARUSI WAKUTWA UKINING'INIA NYUMBANI KWAKE...
    KUSHOTO: Simone akiwa na mumewe, Mohammed Jabakhanji siku ya harusi yao. KULIA: Simone Jabakhanji Bi harusi ambaye alitania kuhus...
  • HISTORIA FUPI YA FREEMASON NA ALAMA ZAKE.....
      ontradicted by the request of stakeholders in this network have decided to prepare this article freemason .......   in...
  • 18+ ONLY: PICHA ZA BEHIND THE SCENE ZA MOVIE YA NGONO YA KWANZA YA KENYA
    The controv er sial an d highly hyped House of Lungula is about to hit the silv er screens. If you have not heard about th...
  • (no title)
  • MWANAMKE AJIFICHA USO MIAKA 19 BAADA YA KUOTA NDEVU KIAJABU...
       Agustina Dorman katika picha tofauti, na kulia akiwa na mwanae wa miaka mitatu. Mwanamke mmoja ambaye alianza kuchipuka ny...
  • MWANAMKE ACHOMWA MOTO AKIWA UCHI KWA TUHUMA ZA UCHAWI....
    Mother, 20, Accused of Being a ‘Witch’ Burned Alive naked | uchi uchi mbele za watu A young mother was tossed screaming on to a pyre o...
  • TAZAMA PICHA ZA MASTAA WA KIKE WA HAPA BONGO....
    IRINE UWOYA - ACTRESS WEMA SEPETU - ACTRESS & MODEL ELIZABETH MAIKO (LULU) - ACTRESS JACQUELINE PATRICK - MODEL ...
  • TAZAMA PICHA ZA NAKAAYA SUMARI AKIONYESHA MIMBA YAKE...
     Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva ambaye pia ni dada wa aliyekuwa Miss Tanzania 2005,Nancy Sumari,Nakaaya Sumari amepost picha mbalimbali ...

Blogger news


Blogroll

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Categories

  • mrindoko (6)

My Blog List

  • MICHUZI BLOG
    11 hours ago
  • PAMOJA
    2 days ago
  • MPEKUZI HURU
    4 years ago
  • LEWIS MBONDE BLOG
    4 years ago
  • ADELA
    7 years ago
  • Thebrax
    10 years ago
  • Lady Jay Dee

Total Pageviews

franklin z.franklin. Powered by Blogger.

popular posts

  • SAKATA LA 50 CENT NA MWANAE BANDIA YAFICHUKA MAKUBWA
    50 Cent didn't father a child with ex-GF Daphne Joy -- the woman he allegedly attacked during a domestic violence incident las...

Blog Archive

SearchThisSite

fb like box

traffics


counter

Your ads

Follow this blog

Saturday, 20 July 2013

Waziri Chikawe azindua Kitabu kiitwacho “Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania”

Posted on 07:55 by Unknown

DIGITAL CAMERAWaziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akiongea na viongozi mbalimbali pamoja na  waandishi wa habari leo jijijni Dar es salaam alipokuwa akizindua Kitabu kiitwacho Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Luteni Kanali Lidwino Mgumba. 2Waziri wa Sheria na Katiba Mh. Mthiasi Chikawe (kulia) akifuatilia ufanafanuzi wa kitabu cha “Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania” kilichoandikwa na Luteni Kanali Lidwino Mgumba. Pembeni mwake ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt.Emmanuel Nchimbi. 3Miongoni mwa viongozi wa Serikali walioshirki uzinduzi wa kitabu cha “Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania” kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Luteni Kanali Lidwino Mgumba leo jijini Dar es salaam. 4Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akionesha kitabu alichokizuindua leo jijijni Dar es salaam cha Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Luteni Kanali Lidwino Mgumba.
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)
Copyright © karibuni.... | Powered by Blogger
Design by Fabthemes | Blogger Template by NewBloggerThemes.com