• Home
  • CONTACT US

karibuni....

Blogger templates

Popular Posts

  • MWANAMKE ACHOMWA MOTO AKIWA UCHI KWA TUHUMA ZA UCHAWI....
    Mother, 20, Accused of Being a ‘Witch’ Burned Alive naked | uchi uchi mbele za watu A young mother was tossed screaming on to a pyre o...
  • TAZAMA PICHA ZA MASTAA WA KIKE WA HAPA BONGO....
    IRINE UWOYA - ACTRESS WEMA SEPETU - ACTRESS & MODEL ELIZABETH MAIKO (LULU) - ACTRESS JACQUELINE PATRICK - MODEL ...
  • ANGELINA JOLIE AONGOZA KWENYE ORODHA YA WAIGIZAJI WAKIKE WANAO LIPWA FEDHA NYINGI HOLLWOOD
    Mwigizaji mkongwe, Angelina Jolie ametajwa kama ndiye mwigizaji wa kike anayelipwa zaidi duniani licha ya mwanadada huyu kutokutok...
  • HISTORIA FUPI YA FREEMASON NA ALAMA ZAKE.....
      ontradicted by the request of stakeholders in this network have decided to prepare this article freemason .......   in...
  • DUHH HEBU ONA MAAJABU YA DUNIA,WATU WANAMKAMATA CHATU KAMA UTANI
  • Kurasa za mbele Magazeti ya leo Jumamosi Julai 27, 2013.
    ...
  • Best 5 photos of WEMA SEPETU.
     
  • INASEMEKANA UCHAFU HUU UMETOKEA MAENEO YA MBAGALA ZAKHEM,BAADA YA DADA HUYU KULEWA BIA ZA OFA!!!
  • Free download Sio vyote by Nole Dasoulja ft Darasa n Osman
    New song by Nole Dasoulja
  • NYOTA WA PRISON BREAK MICHAEL SCOFIELD AJITANGAZA KUWA NI SHOGA:
    Star wa "Prison Break",  Wentworth Miller  a.k.a Michael Scofield, amejitangaza kuwa yeye ni "Gay" (shoga), katika ...

Blogger news


Blogroll

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Categories

  • mrindoko (6)

My Blog List

  • MICHUZI BLOG
    1 hour ago
  • PAMOJA
    2 weeks ago
  • MPEKUZI HURU
    3 years ago
  • LEWIS MBONDE BLOG
    3 years ago
  • ADELA
    6 years ago
  • Thebrax
    9 years ago
  • Lady Jay Dee

Total Pageviews

franklin z.franklin. Powered by Blogger.

popular posts

  • SHEIK PONDA ADAIWA KUPIGWA RISASI NA POLISI MKOANI MOROGORO LEO JIONI.
    Taarifa  toka  Morogoro  zinaarifu  kwamba  Sheikh Ponda  amepigwa  risasi  na  polisi  baada  ya  wafuasi wake  kuandamana..... T...
  • Two male passengers from Tanzania with heroin detained in Hong Kong.
    Hong Kong Customs yesterday (July 25) detected three drug trafficking cases, with seizure...
  • HISTORIA FUPI YA FREEMASON NA ALAMA ZAKE.....
      ontradicted by the request of stakeholders in this network have decided to prepare this article freemason .......   in...
  • TAZAMA CLIP ZA DIAMOND AKIFANYA TANGAZO LA COCACOLA
  • NI KUFURU TUPU MAZISHI YA MFANYABIASHARA ... ZAIDI YA MILIONI 100 KUTUMIKA KWENYE MAZISHI YA BILIONEA ERASTO MSUYA!!
    Zaidi ya Sh100 milioni zinatarajiwa kutumika kugharimia mazishi ya mfanyabiashara, bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya aliye...
  • MAN CITY YACHAPWA NA AMAZULU 2-1MANDELA DAY {HD) Amazulu vs Manchester City 2:1 All Goals & Highlights (18/07/2013)
    BILA kocha hakuna ushindi hapa Afrika Kusini, Manchester City imemaliza mzunguko wa kwanza wa ziara yake ya kujiandaa na msimu k...
  • FANYA MAMBO HAYA KUZUIA CHUNUSI NA MABAKA USONI
    Chunusi ni ugonjwa wa ngozi ambao hujit-okeza kama viuvimbe/vipele vidogo vidogo hasa sehemu za uso,kifuani na hata mgongoni.Vipele hivi hu...
  • BONDIA MTANZANIA OMARI KIMWERI 'LION BOY' KUPAMBANA TENA AUSTRALIA
    Omari Kimweri BONDIA Mtanzania Omari Kimweri  'Lion Boy' anaefanya shughuli zake nchini  Aust...
  • MSANII WA BONGO FLEVA SAM WA UKWELI AELEZEA JINSI ALIVYOMUUA MDOGO WAKE BILA KUKUSUDIA....INASIKITISHA SANA..!!
      Msanii makali wa bongo fleva Sam wa ukweli leo katika kipindi cha leo tena amewatia watu simanzi kutoka na hi...
  • AFUNGIWA PANGONI KWA MIAKA 30 NA WAZAZI WAKE KWA KUONESHA DALILI ZA UKICHAA...
    KUSHOTO: Dong Watou akionesha kovu refu pajani mwake. KULIA: Dong Hai akiwa amejikunyata (kulia) pangoni mwake. Mwanaume ambaye ...

Blog Archive

SearchThisSite

fb like box

traffics


counter

Your ads

Follow this blog

Saturday, 20 July 2013

Waziri Chikawe azindua Kitabu kiitwacho “Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania”

Posted on 07:55 by Unknown

DIGITAL CAMERAWaziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akiongea na viongozi mbalimbali pamoja na  waandishi wa habari leo jijijni Dar es salaam alipokuwa akizindua Kitabu kiitwacho Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Luteni Kanali Lidwino Mgumba. 2Waziri wa Sheria na Katiba Mh. Mthiasi Chikawe (kulia) akifuatilia ufanafanuzi wa kitabu cha “Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania” kilichoandikwa na Luteni Kanali Lidwino Mgumba. Pembeni mwake ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt.Emmanuel Nchimbi. 3Miongoni mwa viongozi wa Serikali walioshirki uzinduzi wa kitabu cha “Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania” kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Luteni Kanali Lidwino Mgumba leo jijini Dar es salaam. 4Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akionesha kitabu alichokizuindua leo jijijni Dar es salaam cha Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Luteni Kanali Lidwino Mgumba.
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)
Copyright © karibuni.... | Powered by Blogger
Design by Fabthemes | Blogger Template by NewBloggerThemes.com