10 hours ago
Thursday, 13 June 2013
BREAKING NEWS.!!!!!!!!!!!!!!
Posted on 08:46 by Unknown
BREAKING NEWS: MSANII LANGA AFARIKI DUNIA
Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani)
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii Langa amefariki dunia..
Habari zinadai kuwa , Msanii huyu alikumbwa na Malaria kali sana hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili jana.
ENDELEA KUWA NASI....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment