Friday, 4 October 2013

How to Last Longer in bed in 3 simple ways..

  Could Viagra help you last longer in bed? The latest research published in the Journal of Sexual Medication seems to think so. Researchers reviewed 14 studies that monitored the effects phosphodiesterase type 5 inhibitors—drugs for erectile dysfunction like Viagra and Levitra—had on men who experience premature ejaculation (PE). Eleven of the studies showed medication helped extend the length of the time they could go before...

MWANAMKE AJIFICHA USO MIAKA 19 BAADA YA KUOTA NDEVU KIAJABU...

   Agustina Dorman katika picha tofauti, na kulia akiwa na mwanae wa miaka mitatu. Mwanamke mmoja ambaye alianza kuchipuka nywele nyeusi usoni kwa miaka 19 baada ya kujifungua mtoto wake wa kwanza anasema hataki tena kuficha ndevu zake. Raia wa Indonesia Agustina Dorman, mwenye miaka 38, kwanza aligundua kukua kwa ndevu fupi wakati alipokuwa na miaka 25, siku kadhaa baada ya kujifungua mtoto wake wa kwanza.Tangu wakati...

Wednesday, 2 October 2013

TAZAMA PICHA ZA NAKAAYA SUMARI AKIONYESHA MIMBA YAKE...

 Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva ambaye pia ni dada wa aliyekuwa Miss Tanzania 2005,Nancy Sumari,Nakaaya Sumari amepost picha mbalimbali mtandaoni akiwa na ujauzito ambao unaonyesha atajifungua muda wowote kutokana na ukubwa wake... mcheki hapa..  Watu mbalimbali wamempongeza Nakaaya na kumtakia kila la heri na ajifungue salama huku yeye mwenyewe akiandika Sasa huku ndio kuchoka......

wakubwa tuu!!! SOMA HAPA KAMA HUWEZI KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI KWA MUDA MFUPI NA NAMNA YA KUMKUNA IPASAVYO!!!!!

Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa blog hii na wale wa page yetu ya facebook. kumekuwa na maombi kama huwezi kumfikisha mwanamke kileleni basi unausika katika hili somo!!!! Wengi wakitaka kujua ni namna gani ya kumfikisha mwanamke kileleni kwa kuzani hawana nguvu za kuhimiri kufanya tendo kwa muda mrefu bila kufikiri kuwa kumuandaa mwanamke kabla ya tendo kunaweza kukusaidia katika kumridhisha. Wanaume wengi huwa hawana maandalizi...

Tanzania, Afghanistan,na Pakistan ni za mwisho kwenye orodha ya kuwatuza wazee duniani

    Utafiti huo unaotizama hali ya watu wazee na mazingira wanamoishi, ulifanywa katika mataifa 91.Norway na Ujerumani, zilikuwa katika nafasi za juu huku Uingereza ikiwa katika nafasi ya 13. Utafiti huo unaonya kuwa nchi nyingi duniani, hazina mifumo mizuri ya kutunza wazee. Ifikapo mwaka 2050, wazee watakuwa wengi kuliko vijana walio chini ya miaka 15, wengi wakiwa ktika nchi zinazostawi. Utafiti huo ulikusanywa na shirika...

WATANZANIA HAWAAMINIKI KIMATAIFA, WADAIWA KUPENDA 'MICHONGO'...

   Balozi Ombeni Sefue. Kuporomoka kwa maadili ya Mtanzania, kumetajwa kuporomosha hadhi ya Mtanzania ndani na nje ya nchi, na sasa wawekezaji wanaogopa kuwaajiri. Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema hayo jana Dar es Salaam, wakati akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wadau mbalimbali katika kuinua kiwango cha uwajibikaji na maadili katika utumishi wa Umma, mafunzo yaliyoandaliwa na Sekretarieti ya ...

WAHAMIAJI HARAMU : UCHAWI WATUMIKA

   Mganga akamatwa na hirizi zenye chura wanaopumua akizitumia kuwauzia wahamiaji haramu wasiweze kukamatwa katika Operesheni Kimbunga Na Mwandishi Wetu, Kibondo    Kampeni ya kitaifa ya kuwaondoa wahamiaji haramu nchini iliyopewa jina la “Operesheni Kimbunga”, imezidi kuibua mambo mazito baada ya mganga wa kienyeji, kugundulika akitumia uchawi ili kuwalinda wahamiaji hao wasikamatwe.   Mganga huyo...

Chikawe afichua siri nzito muswada Katiba mpya

   Ataja vifungu sita vilichomekwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe Serikali imekiri kuwa vifungu sita katika muswada wa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba vilivyoongezwa na kuwasilishwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lililopita, havikupelekwa Zanzibar kutolewa maoni.Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika mahojiano...

KENYA ‘YAIKOMALIA’ MAREKANI

   Westgate Mall kabla ya shambulio la magaidi NAIROBI, Kenya    Serikali ya Kenya imeilaumu Serikali ya Marekani kwa kuwaonya raia wake wasisafiri kwenda nchini humo kutokana na shambulizi la Septemba 21 mwaka huu, katika jengo la biashara la Westgate, jijini Nairobi, nchini humo.Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Kenya, Bw. Joseph Ole Lenku, alitoa lawama hizo jana kwa waandishi wa habari wakati akizungumzia uchunguzi...

Mlinzi (The cash-in-transit guardi) aachia sanduku la pesa kwa kuogopa "MTUTU"

  This is the moment a terrified security guard surrendered a box full of money at an armed raider who confronted him at a petrol station. Dramatic CCTV shows the brazen balaclava-clad raider threaten the guard with a rifle during the daylight raid. The cash-in-transit guard was leaving the shop and heading towards his van when he was attacked by the armed rogue...